VIWAKILISHI

         VIWAKILISHI(W)
Ni manenoyanayokabadalayanomino/jina.
Aina za viwakilishi
a.     Viwakilishivioneshi; niviwakilishiambavyohuoneshaukaribunaumbaliwakitu au jambo. Mfanohuyu , yule, kule, humu, hapo. Mfanohuyusimwezetu, kulehakufai.
b.     Viwakilishivyanafsi; hivuhuelezanafsimbalimbali za wazungunzaji .mfanoyeye, sisi, nyinyi,wao,wewenk.
c.      Viwakilishivyakuuliza; hiviniviwakilishiambavyohuulizamaswali. Mfanowangapiwamekuja?,kipikimekosewa?
d.     Viwakilishivyaidadi; viwakilishihivihutumiaidadikuelezeanomino. Mfanochache, nyingi, kadhaa, wastani.
Viwakilishivimilikishi; hiviniviwakilishiambavyohuoneshaumilikiwakitu au jambo. Mfanochangu, chenu, chao, kwao. Mfanokwanguhaingimgeni

No comments:

Post a Comment